Sifa nne za Kanisa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sifa nne za Kanisa''', ambazo zinalitambulisha Kanisa la kweli kati ya makundi mengi ya Ukristo ni kuwa moja, takatifu, Katoliki, la Mitume wa ...'
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Ukristo}}
'''Sifa nne za Kanisa''', ambazo zinalitambulisha [[Kanisa]] la kweli kati ya makundi mengi ya [[Ukristo]] ni kuwa moja, takatifu, [[Katoliki]], la [[Mitume wa Yesu|Mitume]].
'''Sifa nne za Kanisa''', kadiri ya [[imani]] ya [[madhehebu]] mengi ya [[Ukristo]], ni zile ambazo zinalitambulisha [[Kanisa]] la kweli kati ya makundi mengi ya [[Ukristo]] ni kuwa [[moja]], [[utakatifu|takatifu]], [[Katoliki]], la [[Mitume wa Yesu|Mitume]].


Sifa hizo zilitajwa na [[Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli]] ([[381]]) uliporefusha [[Kanuni ya Imani]] iliyotungwa na [[Mtaguso wa kwanza wa Nisea]] ([[325]]).
Sifa hizo zilitajwa na [[Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli]] ([[381]]) uliporefusha [[Kanuni ya Imani]] iliyotungwa na [[Mtaguso wa kwanza wa Nisea]] ([[325]]).


Ndiyo sababu zinakubaliwa na [[madhehebu]] mengi, ingawa zinatafsiriwa kwa namna tofautitofauti.
Ndiyo sababu zinakubaliwa na madhehebu mengi, ingawa zinatafsiriwa nayo kwa namna tofautitofauti.

==Tazama pia==
*[[Kanuni ya imani ya Nisea-Konstantinopoli]]


== Marejeo ==
== Marejeo ==

Pitio la 13:21, 9 Septemba 2017


Sifa nne za Kanisa, kadiri ya imani ya madhehebu mengi ya Ukristo, ni zile ambazo zinalitambulisha Kanisa la kweli kati ya makundi mengi ya Ukristo ni kuwa moja, takatifu, Katoliki, la Mitume.

Sifa hizo zilitajwa na Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli (381) uliporefusha Kanuni ya Imani iliyotungwa na Mtaguso wa kwanza wa Nisea (325).

Ndiyo sababu zinakubaliwa na madhehebu mengi, ingawa zinatafsiriwa nayo kwa namna tofautitofauti.

Tazama pia

Marejeo

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sifa nne za Kanisa kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.