Bikira Maria wa Mlima Karmeli
Bikira Maria wa Mlima Karmeli ni jina linalopewa Bikira Maria kama msimamizi wa Wakarmeli. Wa kwanza wao walikuwa wakaapweke walioishi juu ya Mlima Karmeli katika Nchi Takatifu mwishoni mwa karne ya 12 na mwanzoni mwa karne ya 13.
Katikati ya makazi yao walijenga kikanisa kwa heshima ya Bikira Maria.
Tangu karne ya 15 watu wamemheshimu kwa jina hilo hasa kwa kuvaa skapulari ya kahawia inayosemekana Maria alimpa Mkarmeli Simoni Stock (1165-1265).
Kumbukumbu katika liturujia inafanyika tarehe 16 Julai.[1][2][3][2]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ 2.0 2.1 Bede Edwards, OCDS. "St. Simon Stock—The Scapular Vision & the Brown Scapular Devotion." Carmel Clarion Volume XXI, pp 17–22, July–August 2005, Discalced Carmelite Secular Order, Washington Province.
- ↑ Scapular Devotion." July–August 2005, Discalced Carmelite Secular Order, Washington Province.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Brown Scapular: a "Silent Devotion" Archived 24 Aprili 2019 at the Wayback Machine. – 2008 article via Zenit news service by Fr. Kieran Kavenaugh, OCD discusses devotion to the Brown Scapular, the existence of historical problems, and pastoral practice
- The Virgin Mary in our life Archived 8 Oktoba 2020 at the Wayback Machine. – Article about Marian devotion in the Carmelite tradition
- The apparitions of Our Lady of Mount Carmel
![]() |
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bikira Maria wa Mlima Karmeli kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |