Bahari ya Azov

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bahari ya Azov

Bahari ya Azov ni bahari ya pembeni ya Bahari Nyeusi. Iko kati ya Ukraine, Urusi, Krim na Bahari Nyeusi.

Eneo lake ni km2 39 000 hivi.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bahari ya Azov kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.