Orodha ya Makaizari wa Bizanti
Orodha hii inataja makaizari wa Bizanti kuanzia nasaba ya Theodosius hadi mwisho wa Dola la Roma Mashariki mwaka wa 1453.
Nasaba ya akina Theodosius[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
28 Machi, 364 hadi 9 Agosti, 378 | Valens | Alikufa kwenye mapigano ya Adrianopoli. |
19 Januari, 379 hadi 17 Januari, 395 | Theodosius I | Alipewa mamlaka katika Mashariki kutoka kwa Flavius Gratianus aliyekuwa Kaizari wa Magharibi. |
17 Januari, 395 hadi 1 Mei, 408 | Arkadius | Mwana wa Theodosius I |
1 Mei, 408 hadi 28 Julai, 450 | Theodosius II | Mwana wa Arkadius |
450 hadi 2 Januari, 457 | Markian | Alipata kuwa Kaizari baada ya kumwoa Pulkeria, dada wa Theodosius II |
Nasaba ya Thraki[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
7 Februari, 457 hadi 18 Januari, 474 | Leo I | Aliteuliwa na jenerali Aspar. |
18 Januari, 474 hadi 17 Novemba, 474 | Leo II | Mjukuu wa Leo I. |
17 Novemba, 474 hadi 9 Januari, 475 | Zeno | Baba yake Leo II. |
9 Januari, 475 hadi Agosti 476 | Basilisko | Shemeji wa Leo I. |
Agosti 476 hadi 9 Aprili, 491 | Zeno | awamu yake ya pili |
11 Aprili, 491 hadi 9 Julai, 518 | Anastasios I | Aliteuliwa na Ariadne, mjane wa Zeno, na kumwoa baadaye. |
Nasaba ya akina Justiniani[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
Julai 518 hadi 1 Agosti, 527 | Justin I | |
1 Agosti, 527 hadi 14 Novemba, 565 | Justiniani I | Mpwa na mrithi wa Justin I |
14 Novemba, 565 hadi 5 Oktoba, 578 | Justin II | Mpwa na mrithi wa Justinian I |
5 Oktoba, 578 hadi 14 Agosti, 582 | Tiberio II | Labda aliuawa kwa sumu. |
14 Agosti, 582 hadi Novemba 602 | Maurikios | Alimwoa binti wa Tiberios II |
Bila nasaba[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
Novemba 602 hadi Oktoba 610 | Fokas |
Nasaba ya akina Heraklios[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
5 Oktoba, 610 hadi 11 Februari, 641 | Heraklio | |
Februari 641 hadi 24 Mei, 641 | Konstantino III | Mwana wa Heraklios; Kaizari-Mshiriki pamoja na Heraklonas |
Februari 641 hadi Septemba 641 | Heraklonas | Mwana wa Heraklios; Kaizari-Mshiriki pamoja na Konstantino III |
641 hadi 15 Septemba, 668 | Konstans II | Mwana wa Konstantino III |
Septemba 668 hadi Septemba 685 | Konstantino IV | Mwana wa Konstans II |
Septemba 685 hadi 695 | Justiniani II | Mwana wa Konstantino IV |
695 hadi 698 | Leontios | Mnyang'anyi |
698 hadi 705 | Tiberio III | Mnyang'anyi |
705 hadi Desemba 711 | Justiniani II | awamu yake ya pili |
Bila nasaba[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
Desemba 711 hadi 3 Juni, 713 | Philippikos Bardanes | |
Juni 713 hadi 715 | Anastasios II | katibu wa Philippikos |
715 hadi 717 | Theodosius III |
Nasaba ya Isauri[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
717 hadi 18 Juni, 741 | Leo III | |
Juni 741 hadi 741 | Konstantino V | |
741 hadi 743 | Artabasdos | waziri chini ya Leo III |
743 hadi 14 Septemba, 775 | Konstantin V | awamu yake ya pili |
Septemba 775 hadi 8 Septemba, 780 | Kaisari Leo IVLeo IV | mwana wa Konstantino V |
Septemba 780 hadi 15 Agosti, 797 | Konstantino VI | mwana wa Leo IV |
15 Agosti, 797 hadi 802 | Malkia Irene | mama ya Konstantino VI |
Nasaba ya Nikephoros[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
802 hadi 26 Julai, 811 | Nikeforo I | |
Julai 811 hadi Agosti 811 | Staurakios | mwana wa Nikeforo I |
811 hadi Juni 813 | Michael I Rangabe | alimwoa binti wa Nikeforo I |
Bila nasaba[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
Julai 813 hadi 25 Desemba, 820 | Leo V |
Nasaba ya Frigia[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
25 Desemba, 820 hadi Oktoba 829 | Mikaeli II | mke wake alikuwa binti Konstantino VI |
Oktoba 829 hadi 20 Januari, 842 | Theophilos | mwana wa Mikaeli II, alikuwa Kaizari-Mshiriki tangu 820 |
20 Januari, 842 hadi Novemba 855 | Malkia Theodora I | mke wa Theophilos, alimtawalia mwana wake |
Novemba 855 hadi 23 Septemba, 867 | Mikaeli III | mwana wa Theophilos, alitawala kumpitia mamake tangu 842 |
Nasaba ya Makedonia[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
23 Septemba, 867 hadi 29 Agosti, 886 | Basili I | alimwoa mjane wa Mikaeli III |
29 Agosti, 886 hadi 11 Mei, 912 | Leo VI | mwana wa Basili I, Kaizari-Mshiriki tangu 870 |
11 Mei, 912 hadi 6 Juni, 913 | Alexander III | mwana wa Basili I, Kaizari-Mshiriki tangu 879 |
6 Juni, 913 hadi 9 Novemba, 959 | Konstantino VII | mwana wa Leo VI, Kaizari-Mshiriki tangu 911 |
919 hadi 944 | Romano I | baba mkwe wa Konstantino VII aliyemtawalia |
959 hadi 15 Machi, 963 | Romano II | mwana wa Konstantino VII |
3 Julai, 963 hadi Desemba 969 | Nikeforo II | alimwoa mjane wa Romano II |
Desemba 969 hadi 10 Januari, 976 | Yohane I | alimwoa dada wa Konstantino VII |
Januari 976 hadi 15 Desemba 1025 | Basili II | mwana wa Romano II |
15 Desemba 1025 hadi 11 Novemba 1028 | Konstantino VIII | mwana wa Romano II, Kaizari-Mshiriki tangu 976 |
11 Novemba 1028 hadi 1050 | Malkia Zoe | binti Konstantino VIII |
11 Novemba 1028 hadi 11 Aprili 1034 | Romano III | mume wa kwanza wa Zoe |
Aprili 1034 hadi 10 Desemba 1041 | Mikaeli IV | mume wa pili wa Zoe |
10 Desemba 1041 hadi Aprili 1042 | Mikaeli V | Mpwa wa Mikaeli IV |
Aprili 1042 hadi Juni 1042 | Malkia Theodora II | Malkia-Mshiriki na dada yake, Zoe |
Juni 1042 hadi 11 Januari 1055 | Konstantino IX | mume wa tatu wa Zoe |
11 Januari 1055 hadi Agosti 1056 | Malkia Theodora II | awamu yake ya pili |
Bila nasaba[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
21 Agosti 1056 hadi 31 Agosti 1057 | Mikaeli VI | jenerali aliyeteuliwa na Theodora II |
Nasaba ya akina Komnenos[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
8 Juni 1057 hadi 25 Desemba 1059 | Isaak I | alijiuzulu kwa sababu ya ugonjwa |
Nasaba ya akina Doukas[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
Desemba 1059 hadi 21 Mei 1067 | Konstantino X | aliteuliwa na Isaak I |
21 Mei 1067 hadi 31 Machi 1078 | Mikaeli VII | mwana wa Konstantino X |
Januari 1068 hadi 24 Oktoba 1071 | Romano IV | alimwoa mjane wa Konstatino X; Kaizari-Mshiriki na Michael VII |
7 Januari 1078 hadi 4 Aprili 1081 | Nikeforo III | alimwoa mke wa Mikaeli VII wakati ndoa haijatengwa |
Nasaba ya akina Komnenos[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
4 Aprili 1081 hadi 15 Agosti 1118 | Alexios I | Mpwa wa Isaak I |
15 Agosti 1118 hadi 8 Aprili 1143 | Yohane II | mwana wa Alexios I |
8 Aprili 1143 hadi 24 Septemba 1180 | Manuel I | mwana wa Yohane II |
24 Septemba 1180 hadi Novemba 1183 | Alexios II | mwana wa Manuel I |
Septemba 1183 hadi 12 Agosti 1185 | Andronikos I | mpwa wa Yohane II |
Nasaba ya akina Angelos[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
12 Agosti 1185 hadi 8 Aprili 1195 | Isaak II | |
8 Aprili 1195 hadi 1 Agosti 1203 | Alexios III | kaka wa Isaak II |
1 Agosti 1203 hadi Januari 1204 | Isaak II | awamu yake ya pili; Kaizari-Mshiriki na mwana wake |
1 Agosti 1203 hadi Januari 1204 | Alexios IV | mwana wa Isaak II |
Januari 1204 hadi 12 Aprili 1204 | Alexios V | alimwoa binti Alexios III |
Nasaba ya akina Laskaris[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
Aprili 1204 hadi 1205 | Konstantino Laskaris | hakuvishwa taji, kwa hiyo hahesabiwi kama Konstantino XI |
1205 hadi Novemba 1222 | Theodor I | kaka wa Konstantino Laskaris |
Novemba 1222 hadi 3 Novemba 1254 | Yohane III | mkwe mwana wa Theodor I |
3 Novemba 1254 hadi Agosti 1258 | Theodor II | mwana wa Yohane III |
Agosti 1258 hadi Agosti 1261 | Yohane IV | mwana wa Theodor II |
Nasaba ya akina Palaiologos[hariri | hariri chanzo]
Miaka ya Utawala | Jina la Kaizari | Maelezo |
---|---|---|
1259 hadi 11 Desemba 1282 | Mikaeli VIII | |
11 Desemba 1282 hadi Mei 1328 | Andronikos II | mwana wa Mikaeli VIII |
Mei 1328 hadi 15 Juni 1341 | Andronikos III | mjukuu wa Andronikos II |
15 Juni 1341 hadi Mei 1347 | Yohane V | mwana wa Andronikos III |
Mei 1347 hadi 1354 | Yohane VI | baba mkwe wa Yohane V |
1354 hadi 12 Agosti 1376 | Yohane V | awamu yake ya pili |
12 Agosti 1376 hadi 1379 | Andronikos IV | mwana wa Yohane V |
18 Oktoba 1377 hadi 1379 | Yohane VII | Kaizari-Mshiriki na Andronikos IV |
1379 hadi 1390 | Yohane V | awamu yake ya tatu |
miezi michache 1390 | Yohane VII | awamu yake ya pili |
1390 hadi 16 Februari 1391 | Yohane V | awamu yake ya nne |
16 Februari 1391 hadi 21 Julai 1425 | Manuel II | mwana wa John V; Kaizari-Mshiriki tangu 1373 |
1399 hadi 1402 | Yohane VII | awamu yake ya tatu; alimtawalia Manuel II |
21 Julai 1325 hadi 31 Oktoba 1448 | Yohane VIII | mwana wa Manuel II |
Januari 1449 hadi 29 Mei 1453 | Konstantino XI | mwana wa Manuel II |