711
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 7 | Karne ya 8 | Karne ya 9 | ►
◄ | Miaka ya 680 | Miaka ya 690 | Miaka ya 700 | Miaka ya 710 | Miaka ya 720 | Miaka ya 730 | Miaka ya 740 | ►
◄◄ | ◄ | 707 | 708 | 709 | 710 | 711 | 712 | 713 | 714 | 715 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 711 (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- Jeshi la Waarabu Waislamu likiongozwa na jemadari Muhammad bin Qasim linavamia Uhindi na kuunda usultani wa Sind katika bonde la mto Indus.
- 30 Aprili - Jeshi la Waarabu Waislamu likiongozwa na jemadari Tariq ibn Ziyad linavuka mlango wa bahari wa Gibraltar na kuanza uvamizi wa Hispania.
- 19 Julai - Waarabu wanashinda jeshi la Wagoti wa Magharibi na kuangusha dola la Wagoti.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 711 DCCXI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 4471 – 4472 |
| Kalenda ya Ethiopia | 703 – 704 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 160 ԹՎ ՃԿ |
| Kalenda ya Kiislamu | 92 – 93 |
| Kalenda ya Kiajemi | 89 – 90 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 766 – 767 |
| - Shaka Samvat | 633 – 634 |
| - Kali Yuga | 3812 – 3813 |
| Kalenda ya Kichina | 3407 – 3408 庚戌 – 辛亥 |
Waliofariki [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: