Mto Moyowosi
Jump to navigation
Jump to search
Mto Moyowosi ni jina la miwili kati ya mito ya Tanzania (upande wa magharibi), ukiwa tawimto muhimu zaidi la mto Malagarasi, wa pili nchini kwa urefu (km 475)[1][2] ambao unatiririka hadi ziwa Tanganyika, ukiwa mto unaoliingizia maji mengi zaidi. Baadaye, maji mengine yanachangia mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ (2010) Historical Dictionary of the Democratic Republic of the Congo. Scarecrow Press, 299. ISBN 978-0-8108-5761-2. Retrieved on 30 May 2012.
- ↑ Elf-Aquitaine (Company) (1992). Bulletin des centres de recherches exploration-production Elf-Aquitaine. Société nationale Elf-Aquitaine (Production). Retrieved on 30 May 2012.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Moyowosi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |