Mto Kilombero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mto Ulanga)

Mto Kilombero (au mto Ulanga) ni mto wa Tanzania mashariki, unaotiririka hadi kuungana na mto Luwegu na kuunda nao mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]