Ruaha Mdogo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ruaha Mdogo ni mto wa Tanzania Kusini Magharibi (Nyanda za Juu za Kusini) na ni tawimto la Ruaha Mkuu.

Ruaha Mdogo unatokea bonde la Usangu na kuingia katika Ruaha Mkuu karibu na mji wa Iringa.

Baada ya hapo mto huo unapitia Iringa na tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]