Mto Rungwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Rungwa ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania. Unaanzia katika mkoa wa Singida, unatiririka upande wa kusini magharibi na kuishia katika ziwa Rukwa.[1][2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Hughes, R. H.; Hughes, J. S. (1992). A Directory of African wetlands. IUCN. p. 251. ISBN 978-2-88032-949-5. Retrieved 31 March 2012. 
  2. Royal Geographical Society (Great Britain) (1880). Proceedings of the Royal Geographical Society and monthly record of geography. Edward Stanford. p. 763. Retrieved 31 March 2012. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]