Mto Kimani (Njombe)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mto Kimani)

Mto Kimani ni mto wa mkoa wa Njombe na mkoa wa Mbeya (Tanzania Kusini Magharibi) ambao ni tawimto la Ruaha Mkuu ambao unapitia Iringa na tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]