Mto Kikuletwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Kikuletwa ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania (upande wa kaskazini mashariki).

Unatiririka hadi bwawa la Nyumba ya Mungu. Halafu maji yake yanaelekea Bahari ya Hindi kupitia mto Pangani.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]