Mto Luhombero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Luhombero ni mto wa Tanzania, tawimto wa mto Kilombero, unaotiririka hadi kuungana na mto Luwegu kuunda mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]