Mto Mkondoa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Mkondoa ni mto wa Tanzania mashariki, unaotiririka hadi kuingia mto Mkata, tawimto la mto Wami ambao unaishia katika Bahari Hindi magharibi kwa Zanzibar.

Chanzo chake ni katika milima ya Ukaguru.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]