Milima ya Ukaguru
Jump to navigation
Jump to search
Majiranukta kwenye ramani: 06°28′S 37°00′E / 6.467°S 37°E
Milima ya Ukaguru (pia Ukuguru) iko mashariki mwa Tanzania katika Wilaya ya Gairo, Mkoa wa Morogoro.
Jina linatokana na kabila la Wakaguru ambao ndio wenyeji wa eneo hilo.
Kilele cha juu kiko mita 806 juu ya usawa wa bahari.
Ni sehemu ya milima ya Tao la Mashariki.
Mto Wami una chanzo chake hapa.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Milima ya Ukaguru kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |