Wilaya ya Gairo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gairo ni jina la wilaya mpya katika mkoa wa Morogoro,Tanzania yenye Postikodi namba 67700, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012. Hadi 2012 ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Kilosa.

Makao makuu ya wilaya yako Gairo, mji wenye maendeleo zaidi, wa pili baada ya Morogoro Mjini.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012 kata ilikuwa na wakazi wapatao 193,011.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Gairo - Mkoa wa Morogoro - Tanzania

Chagongwe | Chakwale | Chanjale | Gairo | Idibo | Iyogwe | Kibedya | Mandege | Msingisi | Nongwe | Rubeho | Chigela | Italagwe | Leshata | Madege | Magoweko | Mkalama | Ukwamani