Wilaya ya Kilosa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa maana mengine ya jina angalia hapa Kilosa

Mahali pa Kilosa katika mkoa wa Morogoro.

Wilaya ya Kilosa ni wilaya moja ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 674. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 489,513 [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tanzania.go.tz/census. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-03-20. Iliwekwa mnamo 2004-03-20.

Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Archived 2 Novemba 2021 at the Wayback Machine.

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Kilosa - Mkoa wa Morogoro - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Berega | Chanzulu | Dumila | Kasiki | Kidete | Kidodi | Kilangali | Kimamba A | Kimamba B | Kisanga | Kitete | Lumbiji | Lumuma | Mabula | Mabwerebwere | Madoto | Magole | Magomeni | Magubike | Maguha | Malolo | Mamboya | Masanze | Mbigiri | Mbumi | Mhenda | Mikumi | Mkwatani | Msowero | Mtumbatu | Mvumi | Parakuyo | Ruaha | Rudewa | Ruhembe | Tindiga | Ulaya | Uleling`ombe | Vidunda | Zombo |


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilosa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa na viongozi wa sasa maana wanabadilika haraka mno.