Wilaya ya Kilosa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa maana nyingine za jina angalia hapa Kilosa

Mahali pa wilaya ya Kilosa (kijani cheusi) katika mkoa wa Morogoro (kabla haijamegwa).

Wilaya ya Kilosa ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 674.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 489,513 [1]. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 617,032 (baada ya kumegwa ili kuanzisha wilaya ya Gairo)[2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tanzania.go.tz/census. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-03-20. Iliwekwa mnamo 2004-03-20.
  2. https://www.nbs.go.tz

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kilosa - Mkoa wa Morogoro - Tanzania

Berega | Chanzuru | Dumila | Kasiki | Kidete | Kidodi | Kilangali | Kimamba A | Kimamba B | Kisanga | Kitete | Lumbiji | Lumuma | Mabula | Mabwerebwere | Madoto | Magole | Magomeni | Magubike | Maguha | Malolo | Mamboya | Masanze | Mbigiri | Mbumi | Mhenda | Mikumi | Mkwatani | Msowero | Mtumbatu | Mvumi | Parakuyo | Ruaha | Rudewa | Ruhembe | Tindiga | Ulaya | Uleling`ombe | Vidunda | Zombo |


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilosa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa na viongozi wa sasa maana wanabadilika haraka mno.