Jumuia ndogondogo za Kikristo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jumuiya ndogondogo za Kikristo ni jumuia maalumu za Wakristo wa Kanisa Katoliki zilizoanzishwa na Mabaraza ya Maaskofu ya Tanzania na nchi nyingine, hasa za Afrika Mashariki, ili kutekeleza upendo katika maisha ya kila siku mitaani[1].

Katika jumuia hizo waamini wanakutana ili kusoma Neno la Mungu na kusali pamoja na kushirikiana katika kukabili changamoto za mazingira yao[2].

Kufikia mwaka 2001 kulikuwa na jumuia zaidi ya 180,000 katika nchi tisa za AMECEA[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. L. Magesa, Anatomy of Inculturation, Transforming the Church in Africa, (New York: Orbis, 2014), 43. See also: G. Cieslikiewicz, Pastoral Involvement of Parish-Based SCCs in Dar es Salaam, in J. Healey and J. Hinton, Small Christian Communities Today, (New York: Orbis, 2005), 101.
  2. "Base ecclesial communities - Oxford Reference". www.oxfordreference.com (kwa Kiingereza). doi:10.1093/oi/authority.20110803095449794 (si hai 2020-11-10). Iliwekwa mnamo 2019-09-25. 
  3. Healey, Joseph G. (2001). "Promoting Small Christian Communities in Africa through the Internet". International Journal of African Catholicism (IJAC) (kwa Kiingereza). 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jumuia ndogondogo za Kikristo kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.