Waterik

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Waterik ni jina la kabila dogo la Waniloti ambalo huhesabiwa katika kabila kuu la Wakalenjin.

Wanakadiriwa kuwa 120,000[1] na kuishi hasa katika kaunti ya Kakamega na kaunti ya Nandi nchini Kenya.

Lugha[hariri | hariri chanzo]

Wao huongea Kiterik, lahaja ya lugha ya Kikalenjin, mojawapo ya lugha za Kiniloti.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. www.ethnologue.com

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Heine, Bernd (1992) 'Dialect death: the case of Terik', in Brenzinger (ed.) Language Death – Factual and Theoretical Explorations with Special Reference to East Africa. Berlin/New York: Mouton de Gruyter, 255–272.
  • Omosule, Monone (1989) 'Kalenjin: the emergence of a corporate name for the 'Nandi-speaking tribes' of East Africa', Genève-Afrique, 27, 1, pp. 73–88.
  • Roeder, Hilke (1986) Sprachlicher Wandel und Gruppenbewusstsein bei den Terik. (Sprache und Geschichte in Afrika, Beiheft 7). Hamburg: Helmut Buske.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waterik kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.