Wabajuni
Maeneo penye idadi kubwa kiasi | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
| ||||||
Lugha | ||||||
Makundi yaliyo karibu kiukoo au kiutamaduni | ||||||
Wabajuni ni kabila la watu wanaoishi hasa katika visiwa vya Bajuni na sehemu za pwani za jirani upande wa bara kati ya Kismayo (Somalia) na Mombasa (Kenya)[3][4].
Asili yao ni mchanganyiko wa Wakhoisan na Wabantu, lakini pia Waarabu, Waajemi, Wasomali[3] na hata Waindonesia.[5]
Lugha yao ni Kibajuni, lahaja ya Kiswahili.
Upande wa dini ni Waislamu[6].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2014-02-02. Iliwekwa mnamo 2019-02-22.
- ↑ Nurse, p.6.
- ↑ 3.0 3.1 3.2 Abdullahi, p.11.
- ↑ Mwakikagile, p.102.
- ↑ Gregory Norton, Flyktningeråd (Norway). Land, property, and housing in Somalia. Norwegian Refugee Council, 52.
- ↑ Swahili, Bajuni. Joshua Project. Iliwekwa mnamo 2015-11-12.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Abdullahi, Mohamed Diriye (2001). Culture and customs of Somalia. Greenwood. ISBN 978-0-313-31333-2.
- Mwakikagile, Godfrey (2007). Kenya: identity of a nation. New Africa Press. ISBN 0-9802587-9-0.
- Nurse, Derek (1993). Swahili and Sabaki: a linguistic history. University of California Press. ISBN 0-520-09775-0.
- Trusteeship and Protectorate: The Road to Independence. U.S. Library of Congress.
- Nurse, Derek (2011). Bajuni: people, society, geography, history, language. Open Publishing. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-01-19. Iliwekwa mnamo 2019-02-22..
- War-1-3, December,Mbagathi,Nairobi. Beesha Baajuun oo ku dagaalantey in lagu (Somali) (December 2003).