Lugha za Kiniloti
Mandhari

Lugha za Kiniloti ni familia ya lugha za Sudan Mashariki zinazotumika na Waniloti kati ya Sudan na Tanzania. Imegawanyika katika makundi yafuatayo:
- Lugha za Kinilo za Mashariki kama vile Kiturkana na Kimasai
- Lugha za Kinilo za Kusini kama vile Kikalenjin na Kidatooga
- Lugha za Kinilo za Magharibi kama vile Kijaluo, Kinuer na Kidinka
Baadhi ya wataalamu wanaongeza kama kundi la nne:
- Lugha za Kiburun (ambazo zinafanana na Kijaluo)
Tanbihi
- Creider, Chet A. (1989). The syntax of the Nilotic languages: Themes and variations. Berlin: D. Reimer. ISBN 3-496-00483-5.
Viungo vya nje
- Nilotic, Michael Cysouw
- The Nilotic Language Family, Doris Payne
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kiniloti kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |