Nenda kwa yaliyomo

Jimbo Kuu la Mombasa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Papa Leo XIV
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Kuu la Mombasa (kwa Kilatini Archidiocesis Mombasaën(sis)) ni mojawapo kati ya majimbo 28 ya Kanisa Katoliki nchini Kenya.

Ni makao makuu ya kanda ya Kanisa ya eneo la mashariki, ambayo inaundwa nalo na majimbo ya Malindi na Garissa.

Kwa sasa linaongozwa na askofu mkuu Martin Musonde Kivuva akiishi mjini Mombasa.

Eneo lake ni kilometa mraba 39,000, ambamo mwaka 2023 kati ya wakazi 2,854,855 Wakatoliki walikuwa 416,000 (14.6% ya wakazi wote), wakigawanyika katika parokia 61. Mapadri ni 142, wakiwemo wanajimbo 97 na wanashirika 45. Watawa wa kiume ni 64 na wa kike ni 615.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]