6 Januari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Januari 6)
Des - Januari - Feb
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 6 Januari ni siku ya sita ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 359 (360 katika miaka mirefu).

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sherehe ya Epifania lakini pia kumbukumbu za watakatifu Juliani na Basilisa, Felisi wa Nantes, Petro Tomaso, Andrea Corsini, Yohane wa Ribera, Karolo wa Sezze, Rafaela Maria wa Moyo Mtakatifu, Andrea Bessette n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 6 Januari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.