Yohane wa Ribera
Mandhari

Yohane wa Ribera (Sevilia, Hispania, 20 Machi 1532 – Valencia, 6 Januari 1611) alikuwa mtu maarufu kwa kushika vyeo mbalimbali katika serikali (Makamu wa mfalme) na Kanisa (askofu).
Mwenye ibada kubwa kwa Ekaristi takatifu na mtetezi wa ukweli wa imani Katoliki, alijenga waumini kwa mafundisho bora.
Alitangazwa na Papa Pius VI kuwa mwenye heri tarehe 18 Septemba 1796, halafu Papa Yohane XXIII alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Juni 1960.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Patron Saint's index
- Lynch, John (1969). Spain under the Habsburgs. Juz. la (vol. 2). Oxford, England: Alden Mowbray Ltd. ku. 42–51.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
