Waminimi




Waminimi (kwa Kilatini Ordo Minimorum) ni watawa wa Kanisa Katoliki wanaomfuata mkaapweke Fransisko wa Paola kutoka Italia kusini.
Mwishoni mwa mwaka 2008 shirika lilikuwa na watawa 180, kati yao mapadri 112, katika konventi 45 ambazo ziko Ulaya (Uceki, Italia, Hispania, Ukraina) na Amerika (Brazil, Colombia, Mexico, Marekani).[1][2]
Waminimi maarufu wa Ufaransa[hariri | hariri chanzo]
- Marin Mersenne (1588–1648)
- Jean François Niceron (1613–1646)
- Charles Plumier (1646–1704)
- Louis Feuillée (1660–1732)
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Catholic Encyclopedia: Minimi
- Minims of Saint Francis of Paola in the world Archived 21 Julai 2011 at the Wayback Machine.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
- ↑ Kigezo:Cita web
- ↑ Hitilafu ya kutaja: Invalid
<ref>
tag; no text was provided for refs namedap