Elizabeth Strout

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Elizabeth Strout mnamo 2015

Elizabeth Strout (amezaliwa 6 Januari 1956) ni mwandishi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 2009, alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi kwa riwaya yake Olive Kitteridge.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Elizabeth Strout kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.