Juliani na Basilisa
Mandhari

Juliani na Basilisa (walifariki Antinoe, Misri, 304 hivi) walikuwa mume na mke. Waliuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 6 Januari[2][3], lakini pia 7 Januari na 9 Januari.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Kiernan, Kevin. "Odd Couples in Ælfric’s Julian and Basilissa in British Library Cotton MS Otho B.", Beatus vir: Studies in Anglo-Saxon and Old Norse Manuscripts in Memory of Phillip Pulsiano. (eds. Kirsten Wolf and A.N. Doane). Tempe, AZ: Medieval & Renaissance Texts & Studies (MRTS), 2005, pp. 85-106.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-julian-6-january/
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St. Basilissa
- St. Julian
- Colonnade Statue in St Peter's Square
- Julian, Basilissa, Antony, Anastasius and Companions Ilihifadhiwa 5 Novemba 2007 kwenye Wayback Machine.
- Saints Julian, Basilissa, Marcianilla, and Celsus at the Christian Iconography web site.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |