Tuzo ya Pulitzer ya Wasifu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tuzo ya Pulitzer ya Wasifu ni aina moja ya Tuzo za Pulitzer ambazo hutolewa kila mwaka nchini Marekani. Ni miongoni mwa aina za asili zilizotolewa kuanzia 1917, na imetolewa kumheshimu mwandishi Mwarekani aliyeandika wasifu wa mtu hodari katika mwaka uliopita.

Kuanzia 1980, wagombea watatu wa mwisho walikuwa hutangazwa, yaani mshindi mkuu pamoja na mshindi wa pili na wa tatu.

Washindi[hariri | hariri chanzo]

Katika miaka 97 hadi 2013, Tuzo ya Wasifu ilitolewa mara 97; kulikuwa na washindi wawili mwaka wa 1938, na hakuwa na tuzo 1962. Waandishi mbalimbali wametuzwa Tuzo hiyo mara mbili:

Miaka ya 1910[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1920[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1930[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1940[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1950[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1960[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1970[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1980[hariri | hariri chanzo]

Kuanzia hapo, kunatajwa mshindi pamoja na wagombea wawili wengine wa mwisho.

Miaka ya 1990[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 2000[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 2010[hariri | hariri chanzo]