2015
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000 |
Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2011 |
2012 |
2013 |
2014 |
2015
| 2016
| 2017
| 2018
| 2019
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2015 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 6 Februari - André Brink, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 14 Februari - Philip Levine, mshairi kutoka Marekani
- 27 Februari - Boris Nemtsov, mwanasiasa kutoka Urusi
- 28 Februari - John Damiano Komba, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 14 Mei - Franz Wright, mshairi kutoka Marekani
- 7 Juni - Christopher Lee, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 11 Juni - Ornette Coleman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 8 Julai - James Tate, mshairi wa Marekani
- 12 Septemba - Frank D. Gilroy, mwandishi kutoka Marekani
- 20 Septemba - C. K. Williams, mshairi kutoka Marekani
- 4 Oktoba - Christopher Mtikila, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 10 Oktoba - Richard Heck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 2010
- 18 Desemba - Placidus Gervasius Nkalanga, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 23 Desemba - Alfred Gilman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1994
