John Damiano Komba
John Damiano Komba (18 Machi 1954 – 28 Februari 2015) alikuwa mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Alitokea katika Chama cha Mapinduzi (CCM). Alikuwa pia mwimbaji maarufu.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Wabunge wa Tanzania
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ [Mengi kuhusu John Damiano Komba. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu John Damiano Komba]
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |