John Damiano Komba
Mandhari
John Damiano Komba (18 Machi 1954 – 28 Februari 2015) alikuwa mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Alitokea katika Chama cha Mapinduzi (CCM). Alikuwa pia mwimbaji maarufu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Wabunge wa Tanzania
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ ["Mengi kuhusu John Damiano Komba". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu John Damiano Komba]
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Damiano Komba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |