Mkoa wa Artvin
Mkoa wa Artvin | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Artvin nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Bahari Nyeusi |
Eneo: | 7436 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 191,934 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 08 |
Kodi ya eneo: | 0466 |
Tovuti ya Gavana | http://www.artvin.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/artvin |
Artvin ni jina la kutaja mkoa uliopo nchini Uturuki, katika pwani ya Bahari Nyeusi kwa upande wa kaskazini-mashariki mwa kona ya nchi, kwenye mpaka wa nchi ya Georgia.
Mji mkuu wake ni Artvin.
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Artvin umegawanyika katika wilaya 8 (mji mkuu umekoozeshwa):
Viungo vya Nje
- (Kituruki) the provincial governorate
- (Kiingereza) Artvin Weather Forecast Information
- (Kiingereza)Çoruh River Valley and future of artvin city
- (Kiingereza) Armenian History and Presence in Artvin
- (Kituruki) Artvin has a wikipedia all of its own including...
- photos of Artvin
- more photos
- World Wildlife Fund report on the area
- (Kituruki) photos and villages of Artvin
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Artvin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |