16 Desemba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Nov - Desemba - Jan | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio[hariri]
- 1971 - Nchi ya Bangla Desh inashinda vita na kupata uhuru kutoka Pakistan.
Waliozaliwa[hariri]
- 1770 - Ludwig van Beethoven, mtungaji muziki kutoka Ujerumani
- 1850 - Hans Buchner (daktari Mjerumani)
- 1863 - George Santayana, mwanafalsafa kutoka Hispania na Marekani
- 1949 - Kilontsi Mbebhaghu M. Mporogomyi, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki[hariri]
- 882 - Papa Yohane VIII
- 999 - Adelaide wa Italia
- 1779 - Go-Momozono, Mfalme Mkuu wa 118 wa Japani (tangu 1771)
- 1889 - Abushiri ibn Salim al-Harthi, Mtanzania aliyeongoza upinzani dhidi ya ukoloni wa Ujerumani
- 1989 - Lee van Cleef, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 2007 - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania