Uziki
Mandhari
Uziki ni nadharia ya siasa iliyoanzishwa na Nnamdi Azikiwe, aliyekuwa kati ya waanzilishi wa Nigeria na rais wake wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia. Azikiwe alifafanua siasa hiyo katika maandishi yake, kama vile: Renascent Africa (1973) na historia ya maisha yake: My Odyssey.
Muhtasari
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ To show empathy for other peoples views, and recognize their right to hold such views.
- ↑ To expel from one's self national, religious, racial, tribal, political-economic, and ethical prejudice.
- ↑ To realize that being self-sufficient economically is the basis for rescuing the Renascent African.
- ↑ To be knowledgeable of African history and accomplishments, and to dismiss any kind of complex exhibited by any race or tribe.
- ↑ To regain the sovereignty that Africa has lost to colonialists.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uziki Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
