Henry Sylvester-Williams

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
S.Ẃilliams (1905).

Henry Sylvester Williams (24 Machi 186726 Machi 1911) alikuwa mwanasheria, diwani na mwandishi nchini Trinidad na Tobago. Alihusika katika kuhamasisha Muungano wa Afrika.

Maisha yake[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Arouca, Trinidad na alikwenda nchini Marekani kujifunza ualimu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Imanuel Geiss, The Pan-African Movement: A History of Pan-Africanism in America, Europe and Africa, London: Methuen, 1974.
  • James R. Hooker, Henry Sylvester Williams: Imperial Pan-Africanist, London: Rex Collings, 1975, 135 pp.
  • Owen C. Mathurin, Henry Sylvester Williams and the Origins of the Pan-African Movement, 1869–1911 (Contributions in Afro-American & African Studies), Greenwood Press, 1976, 224 pp.
  • Marika Sherwood, Origins of Pan-Africanism: Henry Sylvester Williams, Africa, and the African Diaspora, London: Routledge, ISBN 978-0-415-87959-0, 354 pp.
  • Eichhorn N. (2019) "Henry Sylvester Williams’s Black Atlantic." In Atlantic History in the Nineteenth Century. Palgrave Macmillan
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Henry Sylvester-Williams kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.