Cheikh Anta Diop
Cheikh Anta Diop (1923-1986) alikuwa mwanahistoria, mwanaanthropolojia na mwanasiasa nchini Senegal.
Aliandika kuhusu utamaduni wa Afrika, hasa kusini kwa Sahara. Alitaka kuandika historia ya Afrika kabla ya ukoloni.
![]() |
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Cheikh Anta Diop kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |