Mkoa wa Zanzan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mkoa wa Zanzan
Mahali paMkoa wa Zanzan
Mahali paMkoa wa Zanzan
Mahali pa Mkoa wa Zanzan katika Cote d'Ivoire
Majiranukta: 8°30′N 3°15′W / 8.500°N 3.250°W / 8.500; -3.250
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Côte d'Ivoire
Wilaya 7
Mji mkuu Bondoukou
Eneo
 - Jumla 38.131 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Wakazi kwa ujumla 700.999
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Zanzan (kwa Kifaransa: Région du Zanzan) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 700.999. [1]

Kuna tarafa saba ambazo ni

Makao makuu yako Bondoukou.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na