Jimbo Katoliki la Shinyanga
Mandhari
Jimbo Katoliki la Shinyanga (kwa Kilatini "Dioecesis Shinyangaënsis") ni mojawapo kati ya majimbo 37 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Mwanza.
Askofu wake ni Liberatus Sangu tangu mwaka 2015.
Historia
[hariri | hariri chanzo]Uongozi
[hariri | hariri chanzo]- Maaskofu wa Shinyanga
- Liberatus Sangu (tangu 2015)
- Aloysius Balina (1997 - 2012)
- Castor Sekwa (1975 – 1996)
- Edward Aloysius McGurkin MM (1956 – 1975)
Takwimu
[hariri | hariri chanzo]Baada ya jimbo kuzaa jimbo la Bariadi eneo ni la kilometa mraba 14,862 ambapo kati ya wakazi 3,280.000 (2021) Wakatoliki ni 514,000 (15.95%) katika parokia 24. Mapadri ni 63, wakiweno 53 wanajimbo na 10 watawa[2]. Mabradha ni 7 na masista ni 44.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Shinyanga kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |