Mto Msangazi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Msangazi ni mto wa Tanzania ambao maji yake yanaishia katika bahari ya Hindi (mashariki mwa nchi).

Unaishia baharini kwenye kata ya Kipumbwi takriban km 25 upande wa kusini Wa Pangani.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]