Majimbo ya Ethiopia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Majimbo ya Ethiopia ni vitengo vikuu vya kujitawala chini ya ngazi ya kitaifa katika muundo wa shirikisho la Ethiopia.

Kuna majimbo 9 yanayogawiwa kwa msingi wa lugha kuu zinazotumiwa katika jimbo pamoja na majiji 2 yenye hadhi ya jimbo (astedader akababiwach, umoja: astedader akabibi) ambayo ni Addis Ababa na Dire Dawa.

Hii ni orodha ya Majimbo (wingi - kililoch; umoja – kilil) ya Ethiopia:

Orodha[hariri | hariri chanzo]

Ramani Jimbo Mji mkuu Eneo (km²) Wakazi (2005) Lugha kuu za jimbo
Addis Abeba Addis Abeba 530 3.627.934 --
Afar Asayita 96.707 1.389.004 Kiafar
Amhara Bahir Dar 159.174 19.120.005 Kiamhara
Benishangul-Gumuz Asosa 49.289 align=center Kiberta, Kigumuz
Dire Dawa Dire Dawa 1.213 398.934 Kioromo, Kiamhara, Kisomali
Gambela Gambela 25.802 247.000 Kinuer, Kianuak
Harari Harar 374 196.000 Kiaderi; Kioromo, Kisomali
Oromia Adama 353.362 25.125.000 Kioromo
Somali Jijiga 279.252 4.329.000 Kisomali
Mataifa ya Kusini Awasa 93.800 11.426.000 Kiwolaytta, Kihadiyya, Kigurage na nyingine
Tigray Mekele 50.078 4.334.996 Kitigray
Sidama Awasa 12.000 3.200.000 Kisidama

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray