Mikoa ya Ghana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mikoa ya Ghana mnamo Februari 2019.

Jamhuri ya Ghana imegawiwa katika mikoa 16, ambayo yamegawiwa zaidi katika wilaya 275[1][2][3][4], kila moja ikiwa na Bunge la Wilaya (District Assembly). Chini ya wilaya kuna aina kadhaa za mabaraza, yakiwemo mabaraza 58 ya miji au maeneo, mabaraza 108 ya kanda na mabaraza 626 ya maeneo. Kamati za vitengo 16,000 huwa katika daraja ya chini zaidi.

Mikoa hiyo 16 ni:

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "SOCIAL:EC has done no wrong – Dr Afari-Gyan". Ghana News Agengy. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 12 May 2014. Iliwekwa mnamo 13 March 2014.  Unknown parameter |df= ignored (help); Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. "MPs demand 24/7 police security for 275 members". myjoyonline.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 12 May 2014. Iliwekwa mnamo 13 March 2014.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  3. "All Districts". GhanaDistricts.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 31 October 2013. Iliwekwa mnamo 2021-12-06.  More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate= (help)
  4. "Ghana: Regions, Major Cities & Urban Localities – Population Statistics in Maps and Charts". City Population. Iliwekwa mnamo 6 October 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mikoa ya Ghana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.