Nenda kwa yaliyomo

Ugatuzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bunge la funguvisiwa la Aland katika nchi ya Ufini.

Ugatuzi (kwa Kiingereza: devolution) ni mfumo wa utawala unaogawa madaraka ya uamuzi kutoka katika ngazi ya juu ya serikali na kuyapeleka katika ngazi ya chini (serikali za mitaa)[1][2].

Namna ugatuzi unavyofanyika inategemea sheria za nchi husika.

  1. "What is devolution?". BBC Academy (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2019-02-22.
  2. "Devolution: A beginner's guide" (kwa Kiingereza (Uingereza)). 2010-04-29. Iliwekwa mnamo 2019-02-22.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ugatuzi Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.