Mikoa ya Angola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hii ni orodha ya mikoa ya Angola. Mikoa (provincias) ni 18, ambayo inagawanyika kwanza katika wilaya (municipios) 162 halafu katika kata (comunas) 559.

# Mkoa Mji mkuu Eneo (km²) Idadi ya watu (1992) Ramani
1 Bengo Caxito 31.371 196.100 Mikoa ya Angola
2 Benguela Benguela 31.788 656.600
3 Bié Kuito 70.314 1.119.800
4 Kabinda Kabinda 7270 152.100
5 Cuando Cubango Menongue 199.049 139.600
6 Cuanza Kaskazini N'dalatando 24.190 385.200
7 Cuanza Kusini Sumbe 55.660 694.500
8 Cunene Ondjiva 89.342 241.200
9 Huambo Huambo 34.274 1.521.000
10 Huíla Lubango 75.002 885.100
11 Luanda Luanda 2418 1.588.600
12 Lunda Kaskazini Lucapa 102.783 305.900
13 Lunda Kusini Saurimo 45.649 169.100
14 Malanje Malanje 97.602 37.684
15 Moxico Luena 223.023 319.300
16 Namibe Namibe 58.137 107.300
17 Uíge Uíge 58.698 802.700
18 Zaire M'banza-Kongo 40.130 237.500

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mikoa ya Angola kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.