Lunda Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Lunda Kaskazini
Lunda Norte
Mahali paLunda Kaskazini Lunda Norte
Mahali paLunda Kaskazini
Lunda Norte
Mahali pa Mkoa wa Lunda Kaskazini katika Angola
Nchi Angola
Mji mkuu Lucapa
Eneo
 - Jumla 102,783 km²
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 305.900

Lunda Kaskazini (kwa Kireno: Lunda Norte) ni kati ya mikoa kumi na nane ya Angola.

Una wakazi 305.900 kwenye eneo la km² 102,783. Makao makuu ya mkoa yapo Lucapa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lunda Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.