Nenda kwa yaliyomo

Mikoa ya Zimbabwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ugatuzi nchini Zimbabwe.

Mikoa ya Zimbabwe imepatikana kwa kuigawa nchi hiyo katika mikoa 8 na miji 2 yenye hadhi ya mikoa. Imegawiwa zaidi katika wilaya 64 na kata 1,970.

Mikoa ya Zimbabwe ni:

Jina Miji Kuundwa Wakazi (2022)[1] Ukubwa [2] Msongamano kwa km² Eneo
Mji mkuu Mji mkubwa km² mi²
Bulawayo Bulawayo 1997 665,952 900 347 739.95
Harare Harare 1997 2,427,231 872 337 2783.53
Manicaland Mutare 1897[3] 2,037,703 36,459 14,078 55.90
Mashonaland ya Kati Bindura 1983 1,384,891 28,347 10,948 48.88
Mashonaland Mashariki Marondera ? 1,731,173 32,230 12,440 53.73
Mashonaland Magharibi Chinhoyi Kadoma 1983 1,893,584 57,441 22,178 32.96
Mkoa wa Masvingo Masvingo ? 1,638,528 56,566 21,850 28.97
Matabeleland Kaskazini Lupane Victoria Falls 1973 827,645 75,025 28,970 11.03
Matabeleland Kusini Gwanda Beitbridge 1973 760,345 54,172 20,917 14.03
Midlands Gweru ? 1,811,905 49,166 18,984 36.84
  1. "Zimbabwe: Provinces, Major Cities & Urban Localities - Population Statistics, Maps, Charts, Weather and Web Information". www.citypopulation.de. Iliwekwa mnamo 2024-01-28.
  2. Zimbabwe at GeoHive
  3. "Reports of International Arbitral Awards, Volume XXVIII" (PDF). United Nations.
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mikoa ya Zimbabwe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.