Mikoa ya Zimbabwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mikoa ya Zimbabwe imepatikana kwa kuigawa nchi hiyo katika mikoa 8 na miji 2 yenye hadhi ya mikoa. Imegawiwa zaidi katika wilaya 59 na kata 1,200.

Mikoa ya Zimbabwe ni:

Miji minne mikubwa ya Zimbabwe ni:

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mikoa ya Zimbabwe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.