Jimbo la Sidama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru



Sidama
Jimbo la Sidama

Bendera
Mahali paSidama Jimbo la Sidama
Mahali paSidama
Jimbo la Sidama
Mahali pa jimbo la Sidama katika Ethiopia
Nchi Bendera ya Ethiopia Ethiopia
Mji mkuu Awasa
Eneo
 - Jumla 12,000 km²
Idadi ya wakazi (2020)
 - Wakazi kwa ujumla 3,200,000

Jimbo la Sidama ni moja ya majimbo 12 ya kujitawala ya Ethiopia. Limeanzishwa mwaka 2020.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 3,200,000, wengi wakiwa Wasidama, wanaongea Kisidama na ni Wakristo wa madhehebu ya Kiprotestanti.

Makao makuu ni Awasa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray
Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Sidama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.