Majimbo ya Ethiopia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jimbo la Ethiopia)

Majimbo ya Ethiopia ni vitengo vikuu vya kujitawala chini ya ngazi ya kitaifa katika muundo wa shirikisho la Ethiopia.

Kuna majimbo 9 yanayogawiwa kwa msingi wa lugha kuu zinazotumiwa katika jimbo pamoja na majiji 2 yenye hadhi ya jimbo (astedader akababiwach, umoja: astedader akabibi) ambayo ni Addis Ababa na Dire Dawa.

Hii ni orodha ya Majimbo (wingi - kililoch; umoja – kilil) ya Ethiopia:

Orodha[hariri | hariri chanzo]

Ramani Jimbo Mji mkuu Eneo (km²) Wakazi (2005) Lugha kuu za jimbo
Regions of Ethiopia SW.svg Flag of Addis Ababa.svg Addis Abeba Addis Abeba 530 3.627.934 --
Flag of the Afar Region (1994-2012).svg Afar Asayita 96.707 1.389.004 Kiafar
Flag of the Amhara Region.svg Amhara Bahir Dar 159.174 19.120.005 Kiamhara
Flag of the Benishangul-Gumuz Region.svg Benishangul-Gumuz Asosa 49.289 align=center Kiberta, Kigumuz
Flag of Dire Dawa.png Dire Dawa Dire Dawa 1.213 398.934 Kioromo, Kiamhara, Kisomali
Flag of the Gambella Region.svg Gambela Gambela 25.802 247.000 Kinuer, Kianuak
Et harrar.png Harari Harar 374 196.000 Kiaderi; Kioromo, Kisomali
Flag of the Oromia Region.svg Oromia Adama 353.362 25.125.000 Kioromo
Flag of the Somali Region (2008-2018).svg Somali Jijiga 279.252 4.329.000 Kisomali
Flag of the Southern Nations, Nationalities, and Peoples' Region.svg Mataifa ya Kusini Awasa 93.800 11.426.000 Kiwolaytta, Kihadiyya, Kigurage na nyingine
Flag of the Tigray Region.svg Tigray Mekele 50.078 4.334.996 Kitigray
Flag of Sidama.svg Sidama Awasa 12.000 3.200.000 Kisidama

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray