Jimbo la Oromia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo la Oromia



Oromiyaa
Jimbo la Oromia

Bendera
Mahali paOromiyaa Jimbo la Oromia
Mahali paOromiyaa
Jimbo la Oromia
Mahali pa jimbo la Oromia katika Ethiopia
Nchi Bendera ya Ethiopia Ethiopia
Mji mkuu Adama
Eneo
 - Jumla 353,362 km²
Idadi ya wakazi (2007)
 - Wakazi kwa ujumla 27,158,471
Kilimo

Jimbo la Oromia (kwa Kioromo: Oromiyaa) ni moja ya majimbo 12 ya kujitawala ya Ethiopia.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 27,158,471, hivyo linaongoza nchini kwa ukubwa wa eneo na kwa idadi ya watu.

Makao makuu ni Adama.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray
Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Oromia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.