27 Septemba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
* [[1856]] - [[Karl Peters]], [[mwanzilishi]] wa [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] |
* [[1856]] - [[Karl Peters]], [[mwanzilishi]] wa [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] |
||
* [[1918]] - [[Martin Ryle]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1974]] |
* [[1918]] - [[Martin Ryle]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1974]] |
||
* [[1925]] - [[Robert G. Edwards]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[2010]] |
|||
* [[1967]] - [[Debi Derryberry]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]] |
* [[1967]] - [[Debi Derryberry]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]] |
||
* [[1976]] - [[Francesco Totti]], [[mchezaji wa kandanda]] wa [[Italia]] |
* [[1976]] - [[Francesco Totti]], [[mchezaji wa kandanda]] wa [[Italia]] |
Pitio la 17:08, 20 Julai 2016
Ago - Septemba - Okt | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 27 Septemba ni siku ya 270 ya mwaka (ya 271 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 95.
Matukio
- 1821 - Hispania inatambua uhuru wa Mexiko katika mkataba wa Cordoba
Waliozaliwa
- 1696 - Mtakatifu Alfonso Maria wa Liguori, askofu na mwalimu wa Kanisa kutoka Italia
- 1856 - Karl Peters, mwanzilishi wa koloni la Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
- 1918 - Martin Ryle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974
- 1925 - Robert G. Edwards, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2010
- 1967 - Debi Derryberry, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1976 - Francesco Totti, mchezaji wa kandanda wa Italia
- 1982 - Lil Wayne, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 1557 - Go-Nara, mfalme mkuu wa Japani (1526-1557)
- 1590 - Papa Urban VII
- 1660 - Mtakatifu Vinsenti wa Paulo, padri Mkatoliki kutoka Ufaransa
- 1700 - Papa Innocent XII
- 1940 - Julius Wagner-Jauregg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1927
- 2005 - Ronald Golias, mwigizaji wa filamu kutoka Brazil
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Elzeari wa Sabran, na ya mtakatifu Vinsenti wa Paulo, padri
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 27 Septemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |