Vinsenti wa Paulo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Vinsenti wa Paulo.

Vinsenti wa Paulo alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa (Pouy, Gascony, 24 Aprili 1581 - Paris, 27 Septemba 1660).

Ni maarufu hasa kwa huruma yake kwa maskini na kama mwanzilishi wa mashirika mawili ya kitawa.

Miaka 1605-1607 alikuwa mtumwa wa Waislamu, kwanza nchini Tunisia, halafu Uturuki.

Alitangazwa na Papa Benedikto XIII kuwa mwenye heri tarehe 13 Agosti 1729, halafu Papa Klementi XII akamtangaza mtakatifu tarehe 16 Juni 1737.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • P. MYLES REARDEN, C.M., Mtakatifu Vinsent wa Paulo, Mhimiza wa Walei, Mlezi wa Masista, Mwalimu wa Mapadre – ed. Kitabu cha Kivinsenti – Mbinga 2000
  • A. RICHARTZ, Luisa wa Marillac, Mama asiye wa kawaida – tafsiri ya Masista wa Huruma wa Mt. Vinsenti wa Paulo – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1995 – ISBN 9976-67-095-8

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.