1821
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1790 |
Miaka ya 1800 |
Miaka ya 1810 |
Miaka ya 1820
| Miaka ya 1830
| Miaka ya 1840
| Miaka ya 1850
| ►
◄◄ |
◄ |
1817 |
1818 |
1819 |
1820 |
1821
| 1822
| 1823
| 1824
| 1825
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1821 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 15 Septemba - Nchi ya El Salvador inapata uhuru kutoka kwa Wahispania.
- 27 Septemba - Hispania inatambua uhuru wa Mexiko katika mkataba wa Cordoba
- 28 Novemba - Nchi ya Panama inapata uhuru kutoka Hispania ikawa sehemu ya nchi Kolombia chini ya Simon Bolivar.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 21 Januari - John Breckinridge, Kaimu Rais wa Marekani (1857-1861)
- 11 Novemba - Fyodor Dostoyevski, mwandishi Mrusi
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 4 Januari - Elizabeth Ann Seton, mtakatifu na mwanzilishi wa shirika la kwanza la kitawa huko Marekani
- 5 Mei - Napoleon Bonaparte, Mfalme wa Ufaransa
- 3 Juni - Egwale Seyon, Mfalme Mkuu wa Uhabeshi
