Jimbo Katoliki la Meru
Mandhari
Jimbo Katoliki la Meru (kwa Kilatini: Dioecesis Meruensis) ni mojawapo kati ya majimbo 28 ya Kanisa Katoliki nchini Kenya[1]. Liko chini ya jimbo kuu la Nyeri. Makao makuu yako Meru. Wakatoliki ni 1,036,855 kati ya wakazi 3,336,685, hivyo ni asilimia 31.1. Kuanzia tarehe 1 Januari 2026 Askofu wake ni Jackson Murugara, IMC. Mapadri ni 187, wakiwemo wanajimbo 143 na wanashirika 44. Kwa wastani kila padri anahudumia waumini 5,544. Mbali nao, watawa wa kiume ni 71 na wale wa kike 369. Parokia ziko 80[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Introduction and Background of Meru Diocese Ilihifadhiwa 9 Oktoba 2025 kwenye Wayback Machine.(Kiingereza)
- ↑ Deaneries Ilihifadhiwa 16 Novemba 2025 kwenye Wayback Machine.(Kiingereza)
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Breve Tanquam sublimi, AAS 18 (1926), p. 374 (Kilatini)
- Bolla Progreditur continenter, AAS 46 (1954), p. 33 (Kilatini)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- www.gcatholic.org(Kiingereza)
- www.kec.or.ke(Kiingereza)
| Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Meru kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |